Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2014

    bora nimecheka na saumu yangu kwa kusoma maneno haya haaaaaa...jamani si lazima kuandika kimombo tuandike tu kwa lugha yetu tunayoijua kuliko kujilazimisha kuandika kimombo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2014

    Mdau wa kwanza hiyo lugha iliyotumika hapo ndio yenye kuzungumzwa sana na kufahamika kama ilivyoandikwa Uswazi...seuse wateja wanapatikana bila shida....ila kwa wasomi hakika kuna dosari....lakini rizki yapatikana....

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 11, 2014

    Mimi nimelipenda sana hili tangazo ila neon "Gurdulet" sijaelewa maana yake. Tafadhali naomba kueleweshwa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 11, 2014

    Hivi basdy ni birthday hata mimi maneno mengine hapo nimetoka kapa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...