Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2014

    katisha mbaya ... salam toka Arusha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2014

    Ukijitutumua saaana waweza kwama wakati mwengine.....

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2014

    Watanzania wengi wanajua ung'eng'e tatizo CONFIDENCE. … angalia Diamond alivyokuwa confident yaani ameongea vizuuuuri perfect english. you see wabongo wenzangu tujiamini tu jamani tunaweza… yap yes we can.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2014

    Diamond nae sasa aanze kujifunza kingereza,.. alikua anajibu maswali kidogo tofauti na alivyoulizwa, nimecheka anaulizwa maswali yeye kwaaanza ndo anajiangalia na akucheki time watch yake utafikiri yuko busy hahaha ila big up full maconfudensiii.. mdau Kontula

    ReplyDelete
  5. Franklin MzirayJuly 15, 2014

    Msijidhalilishe kwa kujipima kiingereza Chenu. Kuongea kiingereza ni JAMBO la kawaida tu na wala is kujiamini. Kujiamini ni Mawazo na weledi wa Sulla unalotakiwa ujadili.

    ReplyDelete
  6. KEEP IT UP BOY!,YOU ARE HIGHLY TALENTED!.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 15, 2014

    ''Diamond nae sasa aanze kujifunza kingereza,.. alikua anajibu maswali kidogo tofauti na alivyoulizwa, nimecheka anaulizwa maswali yeye kwaaanza ndo anajiangalia na akucheki time watch yake utafikiri yuko busy hahaha ila big up full maconfudensiii.. mdau Kontula''

    Hapana,Diamond alikuwa akijibu swali la mwandishi kuhusu suti kali aliyovaa huku akitumia ishara pia anaonesha kazi ya bora na safi ya Sheria Ngowi, designer wa nguo wa Tanzania aliyemvalisha viwalo na siyo naangalia saa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...