Hapa Diamond aligeuka nakukuta aliye mvuta koti ni Nelly ambaye alimwambia congratulations.
Camrea yetu ilimpata Platnum katika poz hili

Picha iliyotamba kwenye Blogs za marekani jana -Diamond katika Poz la Kisheria Ngowi. Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2014

    heheheh nimecheka kweli mapozi yake bab kubwa ....hongera zake...

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2014

    Mwenyezi Mungu akulinde na akubariki kwa yote uyafanyayo. Napenda sana kazi zako, na ninafurahi unavyozidi kupanda juu. Ila nakuomba usilewe sifa ili uendelee kufanya vizuri zaidi na kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania. Pia nina ushauri mdogo wa bure, tafuta girl friend atakayekuelekeza njia ilinyooka na inayompendeza Mungu. Nikiwa na maana hata kama unaona unataka kuwa na girlfriend star basi awe mwenye maadili mema. Nitakupa mfano wa wachache ambao wameshaolewa na utanilewa nina maana gani, Faraja Kota, Hoyce Temu na wengine wengi. Au jaribu kumwelekeza huyo uliyenaye kwenye njia inayompendeza Mungu, kabla hajakupotosha kabisa. Hukuwa na tabia za kuweka picha chafu mitandaoni sasa upo naye kaanza kukuambukiza. Take care and all the best.

    ReplyDelete
  3. Hongera sana Big up kaka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...