[20:21:38] Ngoma Africa: :jamaa wana roho mbaya sana hawa, asalamaleko wallahi....
[20:22:57] Ngoma Africa: tena gitaa lenyewe bei mbaya harafu made in Gerezani (sido) kariakoo,Uswahilini ndani huko....
[20:24:55] Ngoma Africa: na mlinzi Sajenti kopro (Dog) Domobaya alikuwa kalala fofofoooo (worry) Wallahi nitamfuta kazi akiendelea na tabia hizi. Juzi juzi tu walitaka kulamba bundi, yeye kalala fofofoooo....ebo! Jibwa gani hili?
[20:26:24] Ngoma Africa: Gitaa lenyewe limetengenezwa kwa chuma cha pua na nyuzi zake ni za nondozzzz. Uzito nusu tani. jamaa walitia timu na winchi, we acha tu! Kama nisingekuwa jirani ingekuwa kwishnei...
[20:22:57] Ngoma Africa: tena gitaa lenyewe bei mbaya harafu made in Gerezani (sido) kariakoo,Uswahilini ndani huko....
[20:24:55] Ngoma Africa: na mlinzi Sajenti kopro (Dog) Domobaya alikuwa kalala fofofoooo (worry) Wallahi nitamfuta kazi akiendelea na tabia hizi. Juzi juzi tu walitaka kulamba bundi, yeye kalala fofofoooo....ebo! Jibwa gani hili?
[20:26:24] Ngoma Africa: Gitaa lenyewe limetengenezwa kwa chuma cha pua na nyuzi zake ni za nondozzzz. Uzito nusu tani. jamaa walitia timu na winchi, we acha tu! Kama nisingekuwa jirani ingekuwa kwishnei...
kamanda mkuu pole mbona wangekurostisha
ReplyDeletekamanda gita hili mbona linatisha ?
ReplyDeletenyuzi zake !
kamanda hao vibaka hawana uwoga ? mpaka kombora la afande wanataka kulala nalo mbele
ReplyDeletekamanda inawezekana yule jirani yako
ReplyDeletealieibiwa viatu na bundi wako sasa analipiza kisasi
kamanda itakuwa watoto kariakoo wenzio si mnao huko?
ReplyDeletekamanda ras makunja huo mchoro lazima kuna mtu kachonga dili,hilo gitaa si lipo karibu na banda la Mbwa domo baya ! inakuaje kopro domobaya alale?
ReplyDeleteSajenti Kopro Dog domobaya wa FFU lazima afukuzwe kazi kwa kulala lindoni hafai ata chembe
ReplyDeletekamanda gitaa lako mali sana lazima lingepelekwa makumbusho
ReplyDeletesasa kama kommbora lingekwenda na bundi naye angeibiwa inamaana ndio
ReplyDeletehimaya yote ya viumbe wa ajabu anunnaki aka ffu imengevuliwa nguo!
na nembo zote za himaya zingekwenda?
Hili dude lingeibwa TUNGEANDAMANA!!!!
ReplyDeleteDuh! NyuZi za Nondo???? Kamanda Noma!!
ReplyDeletewaliosuka mpango huu wa kutaka kuisaliti ngome ya kamanda mkuu lazima watafutwe na hatua za kisheria ziwashukie kama radu, wanataka kuchukua nembo za FFU !
ReplyDeletehii akili au matope
kamanda huyo mbwa domo baya kishakuwa mzee mbona siku zile alikuwa mlinzi mzuri tu..sasa kulikoni tena?
ReplyDeletekamanda hili gitaa lako mie nimelipenda tuelewane uniuzie
ReplyDeletekamanda sasa kombora lingekwenda raia ungewaeleza nini? chukua hatua mlinzi dog domobaya lazima atimuliwe kazini
ReplyDelete