Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akijumuika na Viongozi mbali mbali na wananchi,katika futari iliyoandaliwa na Benki ya watu za Zanzibar PBZ katika Ukumbi wa Salama Bwawani
Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mji wa Zanzibar na wateja wa Benki ya watu wa Zanzibar PBZ,wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Benki hiyo katika Ukumbi wa Salama Bwawani
Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...