Maofisi wa Magereza la Isangaa - Dodoma Afande Kapitukaa Pamoja na Afande Hassan wakikagua msaada wa chakula kutoka Taasisi ya Kalamu Education Foundation kama Mchango wao kwa wafungwa katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Pamoja na Maofisa hao Kulia ni Dada Safia na Dada Amina kutoka taasisi hiyo. 
Wajumbe wa Kalamu Education Foundation Dada Safia na Dada Safina Mara Baada ya Kutoa Shukran kwa Ushirikiano walioupata kutoka kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha kwamba wafungwa wanakumbukwa na Jamii vipindi maalum hasa vya kiroho kwani wengi hupata faraja na kuona bado ni sehemu ya Jamii husika na huchangia kuhamasika kiroho na kuwa raia wema.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2014

    Allah awalipe, wafungwa nao wataweza kufunga vyema ramadhani yao in shaa Allah

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2014

    Mungu atawapa barka tele lkn kuna jambo naomba nichangie swadaka ilio bora ni ile utoe mkono wa kulia mkono wa kushoto usijui inshalah tujitahidi kutoa sadaka kwa ajili ya alah tusipende kile mtu ajue kama umetoa sadaka

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2014

    Jazakallahu Kheri... Allah awazidishie, mimi nawaunga mkono kutufahamisha hivi mana kila mtu anafuturisha ma kampuni kwenye mahoteli makuuubwa nakusahau ndugu zetu awalio kwenye dhiki. Sipingi mchango wako kuhusu Swadaka Bora ILA kwahili nimejifunza. Allahu Alam

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...