Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza Kushoto) akiongea na wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakati wabunge hao walipotembelea Banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea Kufanyika katika Viwanja Vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mh Luhoga J Mpina.
 Wabunge wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakisikiliza maelezo kuhusiana na huduma mbalimbali zitolewazo na mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka Kwa afisa uendeshaji wa Mfuko wa PPF kanda ya Ziwa, Bi Grace Balele (mwenye suti nyekundu) wakati walipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba vilivyopo katika Barabara ya Kilwa Jijini Dar Es Salaam. Wa Kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio.
 Mkurugenzi Mkuu wa PPF, Mh William Erio (wa kwanza kushoto) akiwapatia maelezo ya ziada wabunge wa kamati ya Uchumi , Viwanda na Biashara wakati walipotembelea banda la PPF katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi , Viwanda na Biashara, Mh Luhago Mpina (aliyenyoosha mkono) akiuliza swali kwa Mfanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati walipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiwaonyesha Wabunge wa kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara michoro ya Majengo inayoonekana kwenye runinga (haipo pichani) yanayotarajiwa kujengwa na PPF ikiwa njia mojawapo ya uwekazaji utakaofanywa na Mfuko Wa Pensheni wa PPF.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiwaonyesha wabunge wa kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara miradi mbalimbali inayotarajiwa kuanza kutekelezwa na mfuko huo wakati wabunge hao walipotembelea banda la PPF katika Maonyesho ya Sabasaba aliyesimama ni Afisa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Anna Shayo.Picha Zote na Josephat Lukaza - Lukaza Blog

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...