Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya MO Resources Limited,Onesmo Sigalla (kulia),
akitoa maelezo kwa kwa wajumbe wa Kamati ya Maji ya Mtaa wa King'ongo,
Kata ya Salanga, Kimara, Dar es Salaam, kuhusu hatua aliyofikia ya
usafishaji maji katika ujenzi wa kisima cha maji kilichojengwa kwa
msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kamati hiyo iliyokwenda kukagua
maendeleo ya mradi huo jana, iliongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo,
Demetrius Mapesi (kulia). Wajumbe wengine ni Anna Kibwana (wa pili
kulia) na Emannuel Isimbula.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Home
Unlabelled
KAMATI YA MAJI KING'ONGO DAR WAKAGUA UJENZI WA MRADI WAO WA MAJI ULIOFADHILIWA NA TBL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...