Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, John Casmir Minja akichangia Mada katika Mkutano wa Tatu(03) wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika uliofanyika hivi karibuni kuanzia July 14 - 17, 2014 Maputo, Msumbiji.
Maafisa na Askari Magereza wa Msumbiji wakimsikiliza Mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji, Mhe. Dkt. Armando Guebuza(hayupo pichani) katika ufunguzi wa Mkutano wa Tatu(03) wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika uliofanyika Maputo, Msumbiji.
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Tatu(03) wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika wakifuatilia Majadiliano ya Mkutano huo uliofanyika hivi karibuni Maputo, Msumbiji(wa kwanza kulia) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania, John Casmir Minja(wa kwanza kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Uganda, Dkt. Johnson Byabashaija(mstari wa nyuma) ni Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza Nchini Tanzania wakifuatilia mjadala katika Mkutano huo wa Kimataifa.
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini Tanzania, Profesa Sifuni Mchome akiwasilisha Mada ihusuyo Urudiaji wa Vifungo Magerezani kwa Wahalifu(Recividism) katika Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika uliofanyika hivi karibuni Maputo, Msumbiji.
Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji, Mhe. Dkt. Armando Guebuza(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Taasisi za Urekebishaji(Magereza) Barani Afrika pamoja na Washiriki Wengine wa Mkutano mara baada ya kufungua rasmi Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Taasisi za Urekebishaji Barani Afrika, Maputo Msumbiji(wa Nne kushoto mstari wa pili) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(wa kwanza kushoto) ni Rais Mstaafu wa Msumbiji, Joaquim Chisasano(wa kwanza kulia) ni Kamishna wa Magereza Nchini Zambia, Percy Chato(wa tatu kulia mstari wa mbele) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Namibia, Raphael Hamunyela(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...