Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Mzee wa Makangale, wakati akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa katika Wilaya ya Micheweni.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimfariji Bi. Habiba Mkadam Hamad wa kijiji cha Makangale baada ya kumjuilia hali, akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa katika Wilaya ya Micheweni.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika kijiji cha Makangale, wakati akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa katika Wilaya ya Micheweni. Kijiji cha Makangale ni maarufu sana kwa ulimaji wa viazi vitamu kama vinavyoonekana katika picha.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na wananchi wa kijiji cha Micheweni, wakati akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa katika Wilaya ya Micheweni.
Wanawake wa Micheweni wakiwa na shauku ya kutaka kumsalimu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, alipotembelea kijijini kwao kuangalia wagonjwa. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...