CMeneja Masoko wa kampuni ya Megatrade Ivestment Goodluck Kway kulia, akimkabidhi msaada wa vyakula  diwani wa kata ya sokoni one Michael Kivuyo kwaajili ya shule za msingi katika kata hiyo ambazo ni shule ambazo  zinaukosefu mkubwa wa chakula cha wanafunzi hali inayopeleka masomo kudorora na wanafunzi kuzimia ovyo kwa ajilii ya njaa mashuleni hali hiyo ilipelekea kampuni hiyo kujitolea msaada uliogharimu kiasi cha shilingi Milioni moja,msaada huo ni Magunia ya mahindi,maharagwe na mafuta ya kula, jana jijini Arusha
DMeneja Masoko wa kampuni ya Megatrade Ivestment Goodluck Kway kulia akimkabidhi gunia la maharagwe diwani wa kata ya sokoni one Michael Kivuyo jana jijini Arusha kwaajili ya shule za msingi katika kata hiyo,shule zilizonufaika na msaada huo ni shule ya Sokoni 1,Sinoni,Ukombozi,Engosengiu na Sinoni
BDiwani wa kata ya sokoni one Michael Kivuyo akimkabidhi mwalimu mkuu wa shule ya msingi Ukombozi Bi.Fatuma Mashombo gunia la mahindi kwaajili ya wanafunzi wa shule yake. (Pamela Mollel jamiiblog).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...