Mpendwa wetu LUCY FIDELIS NJEAMA, Leo yapata miaka mitatu tangu siku ulipotutoka,lakini yaonekana kama ni Jana tu kwa jinsi ulivyotushiba. Unakumbukwa sana na mume wako, wanao Glory, Glady na Gallya, wazazi wako,dada na kaka zako na ndugu na Jamaa wote waliokupenda. Daima utabakia mioyoni mwetu tukikukumbuka kwa sala na maombi. Twamuomba Mungu akupokee katika ufalme wake,
AMEN.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...