Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2014

    kwani jamani ni lazima tutumie kienglishi?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 17, 2014

    Yawezekana.....mchoraji alipewa maelekezo kwa njia ya imra/dictation akaandika anachojua yeye...hahahahahahha ...ujanja ujanja huu Dar upo mwingi tu na maisha yanasonga kama kawa.....

    ReplyDelete
  3. Mtowa maoni wa pili umeteleza kidogo na wewe, hilo neno ni IMLA siyo imra kama ulivyoandika hapo.

    Hata hivyo 'message sent' cha msingi ni maana iliyokusudiwa katika tangazo hilo, spelling baadae.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 17, 2014

    Kwanini hatujivunii lugha yetu jamani au wenye magari wengi wanaongea kiingilishi

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 17, 2014

    Sasa Anonymous hapo juu umejuaje kama hapa ni Dar Es Salaam? Labda ni Lilongwe ama Nairobi ama Kampala? Tusiwe tuna- conclude bila kufanya utafiti jamani

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 17, 2014

    Hiki kiingereza kinatupa tabu lakini hatubabaishwi tunakiandika hivyohivyo kwa kiswahili. Pengine tusije tukakosa mteja wa kizungu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 17, 2014

    iko poa. kwani lugha yetu? ujumbe umefika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...