Naibu
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba,
akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET),
John Kitime.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mzee Makassy.
Naibu
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba,
akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare.
Naibu
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba
(kulia), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya
Wanyama Sinza Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto), akizungumza
na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es
Salaam leo kabla ya kumakribisha mgeni rasmi wa mkutanmo huo, Mhe.
January Makamba.BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Yaani hapo kuna Januari halafu "Novemba" duh hadi raha amekosekana Februari tu.
ReplyDelete