Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET), John Kitime.

Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mzee Makassy.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba (kulia), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo kabla ya kumakribisha mgeni rasmi wa mkutanmo huo, Mhe. January Makamba.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2014

    Yaani hapo kuna Januari halafu "Novemba" duh hadi raha amekosekana Februari tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...