Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula kulia akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo kuhusu Mmea wa Mchaichai na faida zake wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.
Mmea wa Mmanjano kama Unavyoonekana ambao ni miongoni mwa mimea yenye faida kubwa ambao hupatikana sehemu ya Kizimbani Zanzibar.
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula Katikati akipata maelezo kuhusu Mmea wa Mmanjano na faida za Manjano Kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula akishika Mmea wa Mvuje na kupata maelezo yake kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar.
Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula akipata maelezo kutoka kwa Mtembezi wa Watalii Shaaban Ali Hassan kuhusiana na Kima Punju alipotembelea katika maeneo ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2014

    huyu si mke bali ni mama wa Mswati

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 09, 2014

    Sio mama yake ni mke wake wa kwanza Queen Nomsa Matsebula.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 09, 2014

    Huyu si mke bali ni mmoja wa wake za mswati! Kama hunielewi shauri yako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...