Kwa wale wanaohitaji kujiunga na elimu ya juu nchini Ujerumani.
 Kuanzia B.A,Bsc,M.A mpaka Phd Watanzania tumieni nafasi hizi,
chuo kinapokea wanafunzi hata kwa vijana wa Kitanzania walio maliza kidato cha sita wana nafasi ya kujiunga na chuo hiki,maelezo zaidi,
Tafadhali wasiliana na anuani hii hapa chini:

 International Student Office
 Carl von Ossietzky Universität Oldenburg
 Ammerländer Heerstr. 114-118,
 26129 Oldenburg
 Germany
fax    : +49(0)441 7982461
 Pia fomu za maombi zinapatikana online katika link hii chini:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...