Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za
Taifa ,TANAPA,Pascal Shelutete akifanya utamburisho kwa washiriki wa Warsha
hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Nashera Mkoani Morogoro.
|
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,
Mahamoud Mgimwa akitoa
hotuba yake ya kufunga Warsha ya Mashirikiano baina ya Hifadhi
za Taifa,(TANAPA) na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...