Rais Obama wa MArekani akipata pizza na wananchi wa Denver, akiwa katika ziara yake ya kutembelea wananchi wa kawaida mitaani na kuzungumza nao mamo ya maisha na changamoto wazipatazo. Wananchi hawa walimwandikia barua Rais Obama na kumtaka awatembelee 
 Rais Obama akiongea na mwanamama Kinsey Button katika Mgahawa wa Magnolia mjini Austin, Texas 
Rais Obama akiongea na wananchi mitaani Denver.
Picha kwa hisani ya Pete Souza wa White House

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2014

    Wenzetu wameendelea kiulinzi anaongea na wananchi wake unaona anatembea mtaani lkn kila sehem kuna camera huwwzi ukawa na nia yakumzuru usikamatwe kabla kumfika

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2014

    Mmmhhh dar si usa

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2014

    Hata JK anafanya mambo hayo ya kijamii

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 26, 2014

    ziara ilifana sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...