Shule ya chekechea na msingi ya Blue Tanzanite iliyopo Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, iliyoanzishwa mwaka 2008 na yenye wanafunzi 360, yazindua eneo lake na majengo yake.
Mkurugenzi wa shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite iliyopo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, Raphael Alex Ombade  akizungumza kwenye sherehe za shule hiyo.
Padri Pastory Kijuu wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu, iliyopo Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, akizungumza na wanafunzi wa shule ya Chekechea na msingi Blue Tanzanite, baada ya kuzindua kwa maombi, majengo na eneo  la shule. 
Wanafunzi wa shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite ya Mtaa wa Sekondari, Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakimuomba Mungu wakati wa uzinduzi wa majengo na eneo la shule yao jana, lililofanywa kwa njia ya sala na maombi yaliyoongozwa na Padri Pastory Kijuu wa Kanisa Katoliki Mirerani.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya chekechea na msingi Blue Tanzanite iliyopo Mtaa wa Sekondari, Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakishuhudia tukio la uzinduzi wa majengo na eneo la shule yao jana, lililofanywa na Padri Pastory Kijuu wa Kanisa Katoliki Mirerani. Picha na Joseph Lyimo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...