Familia ya Chagula inasikitika kutangza kifo cha baba yao mpendwa Clement Chagula kilichotokea siku ya Ijumaa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili, Dar es salaam.
Misa ya kumuaga marehemu itafanyika katika kanisa la st Albans jijini Dar es salaam siku ya Jumatatu tarehe 21 Julai 2014 saa saba mchana. Baada ya hapo mazishi yatafanyika katika makaburi ya kinondoni.

Bwana alitoa Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiwe
Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Poleni sana wafiwa: ndugu jamaa na marafiki. Marehemu namkumbuka sana. Tulisoma wote Mkwawa High School, yeye akiwa darasa moja mbele yangu.

    Mungu awapeni nguvu ya kustahimili msiba huu, na amweke marehemu mahali pema Peponi. Amina.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2014

    CHAGULA WA BREWERIS ZAMANI MTOTO PEKEE WA DR W.CHAGULA

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 21, 2014

    Ann hapo juu marehemu si mtoto pekee ni first born ana wadogo zake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...