Familia ya Mzee Constantine Andrea Lupilya inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa(Constantine A.Lupilya)  kilichotokea katika hospital ya Bugando jijini Mwanza  usiku wa kuamkia jana. 

Tarehe ya kifo. 1.7.2014 Kuzikwa ni alhamisi 3.7.2014 Mazishi yanafanyika  Nyakato Mhandu Kakebe. Kwa niaba ya familia Emmanuel Constantine Lupilya. Bwana ametoa na Bwana ametwaa. 

Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...