TIB inawakaribisha wadau wote kwenye banda lao la katika Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara 77 kuona jinsi gani wamewawezesha wateja wao kuzalisha bidhaa na kutoa huduma bora
Kuendana na kauli mbiu ya 77 'Linking production to markets' TIB imefungua mgahawa wa kisasa kabisa ndani ya banda lake la 77 kuonyesha bidhaa za usindikaji na mazao zinazozalishwa na wateja wao kama nyama, kuku, mboga mboga, vinywaji, asali, mikate, chai, kahawa n.k

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...