Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli(wa pili kulia),
akigonanija chupa za bia ya Ndovu Special Malt na wadau wa bia hiyo
wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo ya
ubora wa kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi
ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi karibuni.Hafla
ilifanyika jijini Mbeya hivi karibuni.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt, Pamela Kikuli akizungumza na
wadau wa bia hiyo wakati wa hafla ya kupongezana baada ya bia hiyo
kutwaa tuzo ya ubora wa kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka
kwenye Taasisi ya Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi
karibuni.Hafla ilifanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Wadau wakipata Bia ya Ndovu Special Malt wakati wa hafla
ya kupongezana baada ya bia hiyo kutwaa tuzo ya ubora wa
kimataifa(Ndovu High Quality Trophy) kutoka kwenye Taasisi ya
Kimataifa ya Monde Selection nchini Ufaransa hivi karibuni.Hafla
ilifanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...