Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa GEPF,Bw Aloyce Ntukamazina akiwasilisha mada juu ya uchangiaji wa hiari katika mpango wa VSRS,wakati wa Semina iliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Mtwara.
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa GEPF,Bw Aloyce Ntukamazina akimkabidhi kadi ya uanachama wa hiari,Bi Grace Hokka ambaye ni Mhariri kutoka kampuni ya New Habari huku akifurahia kujiunga rasmi katika mpango wa hiari wa GEPF
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Mfuko wa GEPF,Bw Aloyce Ntukamazina akimkabidhi na kumkaribisha rasmi Bw Martin Kuhanga kujiunga na wenzake katika Mfuko huku akishuhudiwa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Bw Absalom Kibanda (kulia).
Bw Abdalah Majura akipokea rasmi kadi yake ya uanachama baada ya kuelewa umuhimu wa kujiwekea akiba ukiwa bado kazini.
Katibu Mkuu wa jukwaa la wahariri,Bw Nevile Meena akikabidhiwa kadi ya uanachama baada ya kujiunga rasmi na Mfuko wa GEPF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...