Mkurungenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano akitoa hutuba yake wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana.
 Mjumbe wa heshima wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Said El-Maamry akisalimiana na wachezaji wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana. 

 Mshambuliaji wa timu ya wasichana ya Amina Ally (jezi nyekundi) akichuana vikali na mlinzi wa Zanzibar Sarah Hashimi katika mchezo wa mashindano ya Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa kwenye uwanja wa Karume jana. Temeke ilishinda 6-1.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...