Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (wa tatu kushoto) akiwa na viongozi wakuu wakifuatilia mada kwenye mkutano wa siku moja ulioandaliwa na Shirikisho la Wanawake na Amani Duniani (WFWP) kwenye ukumbi wa Jumba la Makumbusho la Kimkoo, jijini Seoul, Korea Kusini leo mchana (Agosti 11, 2014). Kutoka kushoto ni Balozi wa Uruguay nchini Korea, Alba Rosa Legnani, Mke wa Rais wa visiwa vya Marshall, Bibi Lieom Anono Loeak na wa kwanza kulia ni mke wa Rais wa zamani wa Uruguay, Bibi Mercedes Menafra de Batlle.
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (wa pili kulia) akiwa na viongozi wa Shirikisho la Wanawake na Amani Duniani (WFWP) pamoja na wake wa Marais mara baada kumaliza mkutano wa siku moja ulioandaliwa na Shirikisho hilo kwenye ukumbi wa Jumba la Makumbusho la Kimkoo, jijini Seoul, Korea Kusini leo mchana (Agosti 11, 2014).
PICHA NA IRENE BWIRE WA OWM.


.jpg)
.jpg)
Msipoweka flyover kwenye makutano yote..foleni Dar itakuwa ndoto kuikomesha!
ReplyDelete