Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki. 
 Bwana Harusi akiwa na Wazazi wake Mzee Maige na Mkewe.
 Bwana Harusi Abuu Almas Maige akiwa amepozi na Mkewe,Bi.Zainab Binti Ahmed Lukuta mara baada ya kufunga ndoa yao huko Kigamboni mwishoni mwa wiki,pichani nyuma wakiwa na Wazazi wao katika picha ya pamoja mara baada ya ndoa kufungwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hongera sana abuu, ila usisahau kuwa mke ni dhamana na ww ndie unatarajiwa kumfanya mkeo amjuwe muumba wake, ndoa ni furaha sanaaa lkn bado maagizo ya Allah hayabadiliki. angalia hizi picha zenu kisha rejea kitabu chetu na uone wapi umeteleza.

    ReplyDelete
  2. Hongereni maharusi na mungu aibariki ndoa yenu mpate vizazi bora inshallah. Mdau Hussein Mgumba- Salasala Dsm

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...