Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe akiongea na
waandishi wa habari waliofika katika hafla ya benki hiyo kufikisha miaka
mitano tokea imeanzishwa. Aliongeza kuwa benki hiyo ilianzishwa
kwa lengo la kutoa huduma za kibenki sanjari na kushughulika na matatizo
ya kiuchumi kwa jamii katika nyanja mbalimbali.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Edwina Lupembe akikazi msisitizo mbaye ya waandishi wa habari.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe akiwatambulisha
mbele ya wageni waalikwa na wafanyakazi, watoto wanaosomeshwa na benki
hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...