Mkurugenzi
wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio 5 chenye
makao yake makuu jijini Arusha Bw Robert Francis akiwa katika picha ya
pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kufanya hafla fupi
iliyofanyika mjengoni kwao ,ya kuwapongeza kwa kushika nafasi ya kwanza
katika sekta ya mawasiliano na habari kwa ukanda wa kaskazini maonyesho
ya nane nane, Pamoja na David Rwenyagira aliyepata Tuzo za Tanapa hivi karibuni
Mkurugenzi
wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio 5 chenye
makao yake makuu jijini Arusha Bw Robert Francis akiwa anampongeza
Mfanyakazi wa kituo hicho David Rwenyagira
kwa kupata Tuzo na kushika nafasi ya kwanza upande wa Redio katika eneo
la kutangaza utalii wa ndani na mshindi wa pili pekee kundi la
kutangaza masuala ya Uhifadhi upande wa Redio zilizotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) hivi karibuni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...