CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA LINAPENDA KUWATANGAZIA WANACHAMA NA WAPENZI WOTE WA CCM KUTOKA PANDE ZOTE ZA UINGEREZA KWAMBA KUTAKUWA NA MKUTANO MKUU WA TAWI TAREHE 30.08.2014 UTAKAOFANYIKA KATIKA JIJI LA READING KATIKA ANUANI IFUATAYO;
THE PAVILION (FORMERLY RILEYS CLUB)
143 – 145 OXFORD ROAD READING
RG1 7UP

KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU AINA OWINO ANAYENG’ATUKA NAFASI HIYO.

WAGOMBEA WA NAFASI YA MWENYEKITI WA TAWI WALIOPITISHWA NA HALMASHAURI KUU YA TAWI ILIYOKUTANA TAREHE 02.08.2014 NI;
PETER GABAGAMBI
KANGOMA KAPINGA 
SAID SURURU
WANACHAMA WOTE NA WAPENZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA MNAHIMIZWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MKUTANO HUO ILI KUTUMIA NAFASI YAKO PEKEE KUMCHAGUA KIONGOZI ATAKAYELETA MABADILIKO KATIKA TAWI.

Imetolewa na Idara ya Itikadi Siasa na Uenezi 
Chama Cha Mapinduzi Tawi La Uingereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...