Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mheshimiwa John Mongela akiongea wakati wa uzinduzi wa kampeni ya uongezaji virutubishi katika ngazi ya jamii mkoani Arusha leo, kushoto kwake ni Dr. Vicent Assey kutoka Wizara ya Afya –makao makuu na kulia kwake ni Kaimu Mganga mkuu wa Arusha ,Dr. Omary Chando.Uzinduzi huo ulianza kwa mafunzo maalumu kutoka wizara ya Afya ikishilikiana na taasisi ya chakula na Lishe (TFNC) kutolewa kwa viongozi wa juu wa Mkoa pamoja na wakuu wa wilaya za Monduli, Karatu na Arumelu. Kushoto kwa mkuu wa wilaya ni Dr. Vicent Assey kutoka Wizara ya Afya –makao makuu na kulia kwake ni Dr. Omar
Home
Unlabelled
Mkuu wa Wilaya ya Arusha azindua kampeni ya uongezaji virutubishi leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...