Mzee wa Macharanga Charles Hilary akiwa na Natalie Makoma, mwanamuziki wa nyimbo za Injili kutoka Congo alipotembelea studio za BBC jijini London. Mwanamuziki huyu ni maarufu kwa nyimbo kibao zikiwemo 'Butu na Moyi', 'Moto Oyo, na 'Nzambe na Bomoyi' ulio katika mahadhi ya reggae. Hebu msikilize hapo chini
Home
Unlabelled
mwanamuziki nyota wa nyimbo za injili wa congo Natalie Makoma atembelea BBC London
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mwanamziki wa Injili? Tizama alivyovalia!
ReplyDeleteSiku hizi hivi vitu haviendi kimaadili bali ni Title tu..
ReplyDelete