BEAUTY AND MUSIC NIGHT. Siku zinazidi kukaribia hadi Tarehe 30 August ambapo Kwenye Stage watakuwepo Sauti Sol, Yamoto, Skylight Band pamoja na Mirror. Hii show siyo ya kukosa. Pia Kutawepo na Red Carpet na ofa ya kupiga picha kali kwa watu wote watakongia. Njoo usikilize ladha ya muziki wa live katika Stage, Sound lights za Kisasa kabisa kutoka Legendary Music Company.  
VENUE. ESCAPE 1 MIKOCHENI. 
KIINGILIO. 15,000Tshs/- 
Ticket za VIP zinapatikana kwa 50,000Tshs/- 
Unaweza kupiga simu zilizopo katika poster kwa maelezo zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hawa jamaa wakali. Sauti Sol. Yamoto Band na Skylight Band patachimbika hapo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...