#‎DidYouKnow‬: Mpaka nusu ya mwaka 2014 zaidi ya makampuni 400 duniani yaliwekeza kwenye teknolojia ya ‪#‎Smartwatch‬ na nusu ya makampuni hayo yanatokea ‪#‎China‬ na ‪#‎Marekani‬. Kwa nusu mwaka huo zaidi ya saa za kidigitali Mil 3.4 ziliuzwa duniani kote na kutengeneza faida ya zaidi ya Dola Milioni 700. Je,Tanzania imeipokea vipi teknolojia hii.? Kwa hayo na mengine mengi sikiliza uchambuzi yakinifu wa Brown Nyanza ndani ya ‪#‎CloudsFm‬ kesho kuanzia saa moja asubuhi kwenye kipindi cha Power Break-fast on Saturday na Abel Onesmo.
Brown Nyanza ni Mtanzania mtafutaji, anayejihusisha na mambo ya uchambuzi wa teknolojia ya vifaa vya kisasa vya kididitali  (kwa kimombo Smart gadgets Analyst) ambaye utakuwa naye kwenye kipindi hicho> USIKOSE!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Safi sana kijana mtafutaji kwa kuwaelimisha watanzania. Tunahitaji watu wenye uwezo na weledi katika mambo yanayogusa jamii yetu. Hongera sana kaka Brown Nyanza

    ReplyDelete
  2. hivi bado upo upo au?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...