Mwenyekiti wa Bunge la Maalum la Katiba Mhe. Samwel Sitta, akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo mjini Dodoma jana , Kufanya tathmini ya vikao vya Kamati za Bunge hilo vinavyoendelea, ambapo wenyeviti wa Kamati hizo walionyesha kuridhishwa kwao na hatua wanayoendelea nayo katika Ngazi ya kamati. Picha na Owen Mwandumbya
Home
Unlabelled
SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Fedha za wananchi zinateketea....bila kuwepo na uhakika wa kupata jawabu.....
ReplyDelete