Mwenyekiti
Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited
(IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi
(Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika
katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Wakishuhudia ni
baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya IPTL.
Mwenyekiti
Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited
(IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi
(Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika
katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL.
Mwenyekiti
Mtendaji wa kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited
(IPTL), iliyo chini ya Pan Africa Power Solutions (PAP), Bw. Harbinder Sethi
(Kushoto), akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) maboresho yaaliyofanyika
katika kiwanda hicho tangu PAP ilipochukua uongozi wa IPTL. Akishuhudia
ni Mkurugenzi wa Operesheni wa kampuni hiyo Bw. Parthiban Chandrasakaran.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...