Sehemu ya Wananchi wa Jimbo la Mtera,wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara uliofanywa na baadhi ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa kuuelimisha umma juu ya masuala ya Maendeleo, Utekelezaji wa ilani Chama, Maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za vijiji na mitaa, Bunge la Katiba na Mambo yanayohusu maendeleo ya katika vijiji na wilaya zetu. Pia waliwakumbusha juu ya thamani ya muungano wetu na vipengele muhimu vinavyojadiliwa ndani ya Bunge la Katiba.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh. Ridhiwani Kikwete akihutubia kwenye Mkutano huo
Mbunge wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera , Asumpta Mshana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Iringa jimbo la Mtera jana nyuma ni mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde.
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.
IMG-20140824-WA0008
Mbumge wa ji,bo la Sikonge Mh. Said Mkumba akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.
Wananchi wakisikiliza kwa makini Mbunge wa Chalnze Ridhiwani Kikwete alipokuwa akiwahutubia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...