Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani kwenye tamasha la Fiesta 2014 ndani ya uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga,huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa.
Maelekezo ya hapa na pale kutoka kwa mafundi mitambo na jukwaa ilikuwa ikifanyika ili mambo yaende sawa.
Linah akilinogesha jukwaa la Fiesta na wimbo wake wa Ole Temba.
Ommy Dimpoz akimpagawisha shabiki wake jukwaani kwa staili ya Kantangazee...!
Ali Kiba na vijana wake wakilishambulia jukwaa la Fiesta.waliojoitokeza kwenye tamasha la Fiesha mkoani Tanga mwishoni mwa wiki.
Umati wa watu uliofurika katika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga kupata
burudani safi wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki.
Sehemu
ya umati mkubwa wa watu ukifuatilia yaliyokuwa yakijiri ndani ya uwanja
wa Mkwakwani wakati tamasha la Fiesta 2014 likiendelea
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...