Mkuu wa matawi (Cluster Head) wa Benki ya Exim Tanzania, Bi Agnes Kaganda (wapili kushoto) na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilakala, Bw. Abdul Kuratasa kwapamoja wakifungua jiwe la msingi kuonyesha makabidhiano rasmi ya maliwato iliyojengwa na benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Wakishuhudia ni Kaka Mkuu wa Shule Seif Ahmed (wa kwanza kushoto), Dada Mkuu wa shule Naomi Shakila (wa kwanza kulia) na mlezi wa shule hiyo Dkt. Ellen Otaru (wa pili kulia). Na mpiga piga wetu.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilakala, Bw. Abdul Kuratasa akikata utepe kuashiria ufunguzi wa maliwato iliyokabidhiwa na Benki ya Exim Tanzania katika hafla iliyofanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Na mpiga picha wetu.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...