Mshindi wakwanza wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” Laurent Dyanko kutoka chou kikuu cha kilimo, Sokoine University of Agriculture (SUA) akikabidhiwa zawadi wa shilingi milioni moja na cheti cha ushindi
 Mshindi wapili wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” George Firimini kutoka chuo cha usimaniza wa fedha, Institute of Finance Management (IFM) akikabidhiwa zawadi wa shilingi laki sita na cheti cha ushindi
 Mshindi watatu wa shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” Godlove Kellya kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam akikabidhiwa zawadi ya shilingi laki nne na cheti cha ushindi


Washindi watatu bora shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” Laurent Dyanko, George Firmini na Godlove Kellya katika picha ya pamoja na mwakilishi kutoka benki ya NMB, mkuu kitengo cha njia za huduma mbadala.



Afisa mtendaji mkuu wa Dar es Salaam Stock Exchange akiongea na wanafunzi walioshiriki katika shindano la uwekezaji “DSE Scholar Investment Challenge 2014” wakati wa hafla ya kuwatambua wanafunzi hamsini bora na uandaaji wa mchakato wa kutafuta washindi watatu bora wa shindano hilo. Katikati ni bwana George Kivaria  mwakilishi benki ya NMB (wadhamini wa mashindano) kushoto ni Sosthenes Kewe  Mkurugenzi wa taasisi ya uendelezaji wa huduma za fedha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...