Waziri wa Uwezeshaji katika ofisi ya Waziri Mkuu Mary Nagu akiongea jambo na mshauri wa Tanzania Private Sector Foundation(TPSF) Dk.Donath Olombi (Kulia ) na Meneja Biashara wa M-pesa wa Vodacom Tanzania,Asia Mhina (katikati) kwenye warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusiana na kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati uliofanyika kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam leo na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mkurugenzi mtendaji Mkuu wa Tanzania Private Sector Foundation Godfrey Simbeye wa pili kutoka (Kushoto) Meneja Biashara wa M-pesa wa Vodacom Tanzania Asia Natalia Mhina(kushot) na Mshauri wa mshauri wa Tanzania Private Sector Foundation Dk.Donath Olombi (Kulia) wakimsikiliza jambo Waziri wa Uwezeshaji katika Ofisi ya Waziri Mkuu Mary Nagu, baada ya kuzindua warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati uliofanyika kwenye hotel ya Serena jijini Dar es Salaam leo na kudhamini na Vodacom Tanzania.
Waziri wa Uwezeshaji katika ofisi ya Waziri Mkuu Mary Nagu, akisalimiana na Meneja Biashara wa M-pesa wa Vodacom Tanzania Asia Mhina,katika warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusiana na kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati.Warsha hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.Katikati ni Meneja Uhusianoa wa Umma wa Vodacom Matina Nkurlu.
Mkurugenzi mtendaji Mkuu wa Tanzania Private Sector Foundation(TPSF) Godfrey Simbeye akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusiana na warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Waziri wa Uwezeshaji katika ofisi ya Waziri Mkuu Mary Nagu, akiongea na waandishi wa Habari kuhusiana na warsha ya kushirikishana uzoefu katika kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati ulioandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania uliofanyika kwenye hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uwezeshaji katika ofisi ya Waziri Mkuu Mary Nagu akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Warsha ya kushirikishana uzoefu kuhusu njia za kuboresha huduma za Kifedha kwa wafanya biashara ndogo na za kati ulioandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation na kudhaminiwa Vodacom Tanzania.
Baadhi ya washiriki wakifatili mada wakati wa warsha ya kushirikishana uzoefu katika kuboresha njia za huduma za Kifedha kwa wafanyabiashara ndogo na za kati ulioandaliwa na Tanzania Private Sector Foundation(TPSF)na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...