Ofisa Mwendeshaji Mafunzo UTT Asset Management, Hilder Lyimo (kulia), akitoa maelezo kwa mwananchi aliyefika katika banda la UTT jinsi mifuko ya Uwekezaji wa pamoja
inavyoweza kumpa fursa ya kushiriki katika Masoko ya Fedha na Mitaji ili kukuza
pesa zake.
Hekaheka za wananchi zikiendelea wakati wanajaza fomu za
kujiunga na mifuko ya UTT Asset Management huku wakisaidiwa na maofisa wa
taasisi hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...