Ofisa Mwendeshaji Mafunzo  UTT Asset Management, Hilder Lyimo (kulia),  akitoa maelezo kwa mwananchi aliyefika katika banda la UTT jinsi mifuko ya Uwekezaji wa pamoja inavyoweza kumpa fursa ya kushiriki katika Masoko ya Fedha na Mitaji ili kukuza pesa zake. 
Ofisa Mwendeshaji wa UTT Asset Management, Ahmed Salmin Mabrouk akielezea faida za kuwekeza katika mifuko ya uwekezaji wa pamoja inayoendeshwa na utt asset managenet  kwa wananchi waliotembelea banda lao katika viwanja vya Nanenane  Lindi.
Hekaheka za wananchi zikiendelea wakati wanajaza fomu za kujiunga na mifuko ya UTT Asset Management huku wakisaidiwa na maofisa wa taasisi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...