Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim Tanzania, Bi. Agnes Kaganda (mwenye fulana nyeupe)akiwapa somo wafanyabiashara wadogo juu ya umuhimu wa kutumia huduma za kifedha na kibenki ili kukuza biashara zao wakati wa Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyoandaliwa na kampuni ya Nuebrand iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
 Mkuu wa matawi wa Benki ya Exim Tanzania, Bi. Agnes Kaganda (mwenye fulana nyeupe)akiwapa somo wafanyabiashara wadogo juu ya umuhimu wa kutumia huduma za kifedha na kibenki ili kukuza biashara zao wakati wa Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyoandaliwa na kampuni ya Nuebrand iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
 Mfanyakazi wa kitengo cha mauzo wa Benki ya Exim akizungumza na wateja juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki hiyo wakati wa Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyoandaliwa na kampuni ya Nuebrand iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Wafanyakazi wa kitengo cha mauzo wa Benki ya Exim wakizungumza na wateja juu ya huduma za kibenki zitolewazo na benki hiyo wakati wa Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyoandaliwa na kampuni ya Nuebrand iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam hivi karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...