Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Astery Bitegeko tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya pili uwasilishaji  michango ya wanachama wa PPF mapema kwa upande wa sekta ya Kilimo.
Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akipeana mkono na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Astery Bitegeko mara baada ya kumkabidhi  tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya pili uwasilishaji  michango ya wanachama wa PPF mapema kwa upande wa sekta ya Kilimo.
Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akimkabidhi Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Allan Kijazi tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya kwanza kwa sekta zinazotoa huduma nyinginezo kwa uwasilishaji  michango ya wanachama wa PPF mapema kwa upande wa sekta ya Kilimo. 
Naibu waziri wa Fedha,Mwigulu Mchemba akimkabidhi Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Allan Kijazi akionesha tuzo na cheti alivyokabidhiwa mara baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa taasisi zinazowasilisha michango ya wananchama  wa PPF kwa wakati.
Baadhi ya washindi wakionesha tuzo na vyeti walivyo kabidhiwa.
Mgeni rasmi katika mkutano huo wa 24 wa wananchama na wadau wa PPF unaofanyika jijini Arusha wakiwa katika picha na baadhi ya mawaziri pamoja na viongozi wa PPF.
Washindi wa tuzo wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi.
Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Astery Bitegeko akionesha  tuzo na Cheti baada ya kushika nafasi ya  kwanza  uwasilishaji wa  michango ya wanachama wa PPF mapema kwa upande wa SACCOS. Na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...