Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa Benki ya TIB,Jaffer Machano akizungumza wakati wa kikao kifupi kati ya uongozi wa TIB na ule wa Manispaa ya Moshi juu ya Ujenzi wa kituo kipya cha kisasa cha Mabasi cha Ngangamfumuni .
Kikao kinaendelea.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao hicho.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ,Shaban Ntarambe akitoa neno la shukrani wakati ujumbe wa Benki ya TIB ulipotembelea ofisini kwake kwa ajili ya kukabidhi michoro halisi ya kituo kikuu cha mabasi cha kisasa cha Ngangamfumuni .
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya TIB, Peter Noni akimkabidhi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary Michael ,CD ya mchoro halisi wa Jengo la kisasa la kituo kikuu cha Mabasi cha
Ngangamfumuni mkoani Kilimanjaro
Uongozi wa Benki ya TIB ulipofika ofisini kwa mkurugenzi wa manispaa ya Moshi ,Shaban Ntarambe kwa ajili ya kukabidhi michoro halisi ya jengo la kisasa la kituo kikuu cha Mabasi cha Ngangamfuni.toka shoto ni Mkurugenzi mkuu wa TIB ,Peter Noni,Jaffer Machano (Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa TIB)
Na Dixon Busagagawa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...