Bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari ya Kaloleni Islamic Secondary School iliyopo eneo la Kalaloleni-Pasua katika  manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro linateketea kwa moto. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema moto huo umeanza majira ya saa 2 za usiku huku chanzo chake bado hakijajulikana na ripota wetu Dixon Busagaga aliye eneo la tukio anafuatilia ajali hii na atatujulisha kila kitachojiri na kupatikana.
Kikosi cha zimamoto kimefanya jitihada za kuzima moto huo licha ya kukabiliwa na changamoto ya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mungu tunusuru na hili jinamizi la ajali, poleni sana wahanga.

    ReplyDelete
  2. Mungu atajalia wawe salama, ila maghorofa Kule juu kunaulazima wa kuwekwa nondo za madirishani? ikatokea ndani ya chumba mtu Hana pakutokea tujirekebishe usalama wa majengo. Hasa ma hospitali na mashule hayo.

    ReplyDelete
  3. What is wrong Tanzania, every day accident, what is wrong. I do not believe so. No no no, there is something under the table. God forgive us.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...