Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim (kushoto)akiongea jambo kwa Wafanyakazi wa Kampuni ya Corona (T) Ltd baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapojaza mafuta kwenye vituo vya OilCom( wapili kutoka kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Raphael Habiyaremye ,Meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa ,Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher, Meneja wa Maswala ya Kompyuta wa OILCOM Tanzania Abubakar Mwita.Hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha mafuta cha oilcom mtaa wa Libya jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa OILCOM Tanzania Mohamed Said (kushoto) Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania,Salum Mwalim wakimsikilza kwa makini ) Meneja Utawala wa Corona Norah Christopher alipokuwa akiongea kuhusiana na kampuni yao ya Kampuni ya Corona (T) Ltd kuibuka kinara wa utumiaji wa huduma ya M-pesa wanapoja za mafuta kwenye vituo vya OilCom,Kutoka kulia ni Meneja wa Maswala ya Kompyuta wa OILCOM Tanzania Abubakar Mwita, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Corona (T) Ltd Raphael Habiyeremya ,meneja uendeshaji wa Corona Faiza Kijangwa ,Meneja Utawala Norah Christopher hafla hiyo ilifanyika katika kituo cha mafuta cha oilcom mtaa wa Libya jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa OilCom Tanzania Mohamed Said akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Corona (T) Ltd Raphael Habiyaremye baada ya kampuni yake kuibuka kinara wa uwekaji wa mafuta katika kituo cha Oilcom cha Libya jijini Dar es Salaam,kwa kutumia huduma ya M-pesa ambapo kila wiki wateja wanajishindia mtungi wa O-Ges wenye ujazo wa kilo 6. katikati ni Meneja Uhusiano wa nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim na Meneja wa maswala ya Kompyuta wa Oilcom Tanzania Abubakar Mwita.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Corona (T) Ltd Raphael Habiyaremye baada ya kampuni yake kuibuka kinara wa uwekaji wa mafuta katika kituo cha Oilcom cha Libya jijini Dar es Salaam,kwa kutumia huduma ya M-pesa ambapo kila wiki wateja wanajishindia mtungi wa O-Ges wenye ujazo wa kilo 6 .Kulia ni Meneja wa maswala ya Kompyuta wa Oilcom Tanzania Abubakar Mwita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...