Mwenyekiti wa Kamati ya usalama barabarani mkoani Kilimanjaro, Christopher Lyimo akimkabidhi zawadi mgeni Rasmi, Katibu Tawala wa mkoa huo, Dk. Faisal Issa.
Dkt. Faisal Akikata utepe kuashiria uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani.
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya Moshi, Hendry Nguvumali akisoma risala ya Kamati ya usalama barabarani kwa niaba ya Katibu wa Kamati hiyo, Kamanda wa usalama Barabarani mkoa wa Kilimanjaro, Joseph Mwakabonga.
Sehemu ya maandamano katika uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani kimkoa yaliyofanyika kwenye uwanja wa Stendi kuu ya Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...