Ankal akipata selfie na Missie Popular a.k.a MP, mmoja wa mabloga wakubwa wanawake nchini. Hapa ni katika sherehe za uzinduzi wa nyumba za makaazi za Shirika la Nyumba (NHC) za Medeli mjini Dodoma. Dada huyu ni mwanalibeneke wa siku nyingi na anajua anachokifanya. Keep it up Missie! Mtembelee BOFYA HAPA
Pia BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...