Marehemu Charos Saidi Ushiwa

Ni Mwaka Mmoja sasa tangu ulipotwaliwa na Mungu tarehe 9 Septemba 2013, na kutangulia mbele ya haki. Ijapokuwa hupo nasi tena, kumbukumbu yako itadumu daima mioyoni mwetu.
Unakumbukwa sana na Mke wako mpendwa Victoria; Watoto wako Honorati, Mendrada, Catherine, Joseph, Calist, Venans, Prosper, Barnabas, Albin, na Goodluck; Wajukuu na Vitukuu wako; Mama yako mzazi Matarimo; Ukoo wa Ushiwa, Wajomba zako, Ukoo wa Lerimo, Wakwe zako, ndugu, jamaa na marafiki.
Tutakukumbuka daima.
Mungu aipumzishe Roho yako katika Amani yake. Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...